Wednesday, December 21, 2011

WANACHUO WAPEWA MBINU ZA KUFAULU...


Wanafunzi wanahudhuria vipindi na kuandika kumbukumbu zao
wenyewe wana nafasi kubwa ya kufanya vyema zaidi katika
mitihani yao kuliko wale wenyekuandika nukuu za rafiki zao



 Wanachuo wakifuatilia mhadhara maalumu chuoni kwao. Kumbe mafanikio katika majaribio na mitihani huanza toka mwanzoni kabisa. Jinsi ambavyo mwanafunzi anasoma na kuandika kile anachofundishwa na kujisomea ni muhimu kwa kuwa hiyo humsaidia pia katika utunzaji wa kumbukumbu akili. Hivyo wale waliozoea kuchukua maandishi ya wenzao wapunguze tabia hiyo na badala yake wahudhuria vipindi wawo wenyewe. Kwa habari zaidi soma hapa.

1. Start Studying in School

Studying for tests and quizzes actually starts way before you even know you'll have a test.Good study techniques begin in the classroom as you take notes. Note-taking is a way of remembering what you were taught or what you've read about.
Where's your favorite place to study?
Some keys to note-taking are to write down facts that a teacher mentions or writes on the board during class.If you miss something, ask your teacher to go over the facts with you after class.
Keep your notes organized by subject and making sure they're easy to read and review. This may mean that you need to recopy some notes at home or during a free period while the class is still fresh in your mind.
Unfortunately, most schools don't have classes that teach you how to take notes. When it comes to taking good notes, it can take some experimenting to figure out what works, so don't give up.
Original link:

No comments:

Post a Comment