Sunday, December 11, 2011

Elimu ya kweli ni vitendo!



Elimu ikitafsiriwa kwenye matendo ndo haswa Elimu!























Chuo kikuu cha Makerere, kikishirikiana na vyuo vikuu vingine kimeshiriki katika mradi wa kutengeneza gari linalotumia nguvu ya umeme. Magari ya aina hii yatasaidia katika utunzaji wa mazingira kwani hayatoi moshi na hivyo kutunza mazingira. Changamoto ni kwa vyuo vikuu vingine hususani vile vikongwe, Afrika Mashariki vinafanya nini?

Kupata maelezo vizuri juu ya mradi huu soma hapa



Sehemu tofauti za gari hilo!


Siku za Usoni Chuo Kikuu cha Makerere kikishirikiana na vyuo vikuu vingine kitatengeneza gari la aina hii. Je, huu ni ukombozi wa kweli kwa bara letu la Afrika? 

No comments:

Post a Comment