Friday, January 29, 2016

JE AFRIKA TUNAWEZA KUMUDU ELIMU BORA NA BURE?


JE, AFRIKA INAWEZA KUMUDU ELIMU BURE?
imepakuliwa hapa: https://www.youtube.com/watch?v=D6zlTJ9xUp4

Mjadala umeendelea kote barani Afrika kupitia mtandao wa Bbc. Swali hili ni muhimu kwa Tanzania pia. Je, tunaweza kumudu elimu bure? Elimu hiyo ya bure inafaa iendane na ubora pia si tu elimu bure lakini yenye ubora bure pia.

Kwenye picha iliyochukuliwa mtandao wa bbc wanaonekana watoto wakiwa kwenye darasa la chini ya mti, wakiwa wamekalia mawe ili hali wapita njia wakiendelea na shughuli zao. Ama kwa hakika hapa ni ngumu mno kupata elimu bora hata kama itakuwa bure...
http://www.bbc.co.uk/programmes/p03g5pbx

No comments:

Post a Comment