Friday, November 20, 2015

WANASIASA KAMA WANANDOA!!!

Image by google
Makundi haya mawili yote hula kiapo cha utii na uaminifu mbele za watu na Mungu lakini bado wanachakachua!!!

WANANDOA:
Image by google

Watu wawili kwa kawaida mtu mme na mtu mke wanapopendana na kukubaliana kuishi pamoja hulazimika kuweka wazi suala hilo mbele ya umma wa wanajamii wanaoishi nao. Kwa kawaida watu hawa hula kiapo, huwekeana ahadi kuwa watakuwa waaminifu baina yao na kawaida huomba msaada wa Mungu awawezeshe kuwa waaminifu katika kiapo chao. Hufanya hivyo na kuahidi kuwa wavumilifu katika jua na mvua, afya na ugonjwa, mali na kutokuwa na mali hadi hapo kifo kitakapowatenganisha.

Hapa hatutaki kuangalia kama watu wetu wanakuwa kweli wameandaliwa na kama wanajua nini maana ya kuishi katika ndoa. Bila shaka suala hili tutalijadili mara nyingine kwa marefu na mapana yake stahiki.

WANASIASA:

Watu waume na wake walioamua kuingia kwenye shuguli za kisiasa hulazimika, kama ilivyo kwa wanandoa, kula kiapo na kuahidi kulinda na kutumikia kwa lengo la kuboresha maisha ya watu wetu. Wanasiasa pia husikika wakisema na tena kwa kutumia vitabu vitakatifu kuwa kwa akili zao timamu watailinda katiba ya Jamhuri ya Muungano na kuwa wanaomba Mungu awasaidie katika utekelezaji huo.
Image by google

Kwa upande wa siasa nafahamu pia kuwa si wanasiasa wote wanaofahamu uzito na umuhimu wa kazi hii ya kitumishi. Kama asemavyo mwanafalsafa nguli John Locke kwamba mwanasiasa mzuri ni yule anayefahamu moyoni mwake kuwa kazi hiyo ni mkataba baina ya mwanasiasa na wananchi.

MADUDU

Pamoja na kula viapo wanandoa huvikiuka viapo vyao na kuvunja ahadi zao za ndoa na kuanzisha nyumba ndogo ambazo ni kinyume na ahadi zao za ndoa. Kama ilivyo kwa wanandoa, wanasiasa wetu wengi pia hukiuka na kuvunja ahadi na viapo vyao kwa kuchakachua rasilimali zetu na kushiriki kwenye ufisadi na wizi mkubwa mkubwa tu. Mfano wa uchakachuzi hapa ni pamoja na kushiriki katika ESCROW, EPA, RICHMOND na wizi mwingi unaowakesesha wananchi haki zao. Hivyo basi wanasiasa na wanandoa wote kwa nafasi zao hufanya madudu na kukiuka viapo vyao.

Thursday, November 19, 2015

German Universities Now All Free of Tuition Fees - Vyuo Vikuu Vyote Ujeruman Hakuna Ada sasa

Reichtag
Universities in Germany are now free of tuition fees for all including international students. Yesterday, Lower Saxony became the last of seven German states to abolish their tuition fees, which were already extremely low.
German universities had been charging for tuition since 2006. The measure proved unpopular, and German states began dropping them one by one. It is now all gone throughout the country, even for foreigners.
This means that now, both domestic and international undergraduate students at public universities in Germany are able to study in Germany for free, with just a small fee to cover administration– usually between €150 and €250 (US$170-280)  – and other living expenses costs per semester (food, transport, accommodation, entertainment, course materials and other necessities).
Germans barely had to pay for undergraduate study even before tuition fees were abolished. Semester fees averaged around €500 ($630). It is now gone.
Free education is a concept that is embraced in most of Europe with notable exceptions like the U.K., where the government voted to lift the cap on university fees in 2010, and tripled the tuition fees therefore. The measure has reportedly cost more money than it brought in. The Guardian reported last March that students are failing to pay back student loans.
Maybe for now, learning German might be the best financial choice an high school student can make.
Move to Germany with a student visa by using the step by step virtual assistant to the German student visa or reading about visa for international student in Germany on migreat.com.
Read more about Scholarships for Filipinos in Germany // Scholarships Para sa Mga Filipino sa Germany
Got questions about studying in Germany? Ask Migreat Communities in Germany.

TANZANIA YETU YA FURAHA - Atomic Jazz Band

Picha kwa hisani ya Google

Tanzania ni nchi ya aina yake na tuna wajibu wa kuifanya isonge mbele hasa. Atomic Jazz Band walifanya kazi hiyo vizuri kwa kutunga wimbo unaodumu daima. Wimbo wao utuhamasishe tutumie vyema vipaji vyetu ili tuijenge nchi hii.