Thursday, November 19, 2015

TANZANIA YETU YA FURAHA - Atomic Jazz Band

Picha kwa hisani ya Google

Tanzania ni nchi ya aina yake na tuna wajibu wa kuifanya isonge mbele hasa. Atomic Jazz Band walifanya kazi hiyo vizuri kwa kutunga wimbo unaodumu daima. Wimbo wao utuhamasishe tutumie vyema vipaji vyetu ili tuijenge nchi hii.

No comments:

Post a Comment