Thursday, January 2, 2014

JUA LA MWANZO KABISA TAZANIA 01/01/2014

Jua la Mwanzo wa mwaka 01/01/2014

Mkoa wa Mtwara unapatikana Kusini-Mashariki mwa Tanzania. Pamoja na Kilimanjaro ni mkoa mdogo kabisa kwa eneo. Mkoa huu unapatikana kusini-mashariki kabisa mwa Tanzania, kwahiyo jua nchini Tanzania, huanza kuonekana mkoani Mtwara. Hivyo picha hii japokuwa haina mwonekano mzuri sana, inaonyesha jua la mwanzo kabisa nchini Tanzania siku ya 01/01/2014

MTWARA MITAANI MWISHO WA MWAKA KAZI MTINDO MMOJA

Hata tarehe ya mwisho kabisa ya mwaka watu walikuwa wakiendelea na kazi
Kazi zikiendelea siku ya mwisho wa mwaka kama kawaida 31/12/2013