Thursday, January 2, 2014

JUA LA MWANZO KABISA TAZANIA 01/01/2014

Jua la Mwanzo wa mwaka 01/01/2014

Mkoa wa Mtwara unapatikana Kusini-Mashariki mwa Tanzania. Pamoja na Kilimanjaro ni mkoa mdogo kabisa kwa eneo. Mkoa huu unapatikana kusini-mashariki kabisa mwa Tanzania, kwahiyo jua nchini Tanzania, huanza kuonekana mkoani Mtwara. Hivyo picha hii japokuwa haina mwonekano mzuri sana, inaonyesha jua la mwanzo kabisa nchini Tanzania siku ya 01/01/2014

No comments:

Post a Comment