Showing posts with label Maarifa. Show all posts
Showing posts with label Maarifa. Show all posts

Thursday, October 4, 2018

THE POWER OF READING USEFUL BOOKS - KUSOMA VITABU VIFAAVYO HUONGEZA MAARIFA!


Ndugu msomaji wa blogu ya Wajenga Dunia,

Habari za siku nyingi? Bila shaka u mzima wa afya tele. Napenda kukukaribisha kwa mara nyingine katika ukurasa huu ili uendelee kujipatia maarifa yafaayo maishani.

Kuanzia sasa nakufahamisha kuwa tutakuwa tukifanya tafakari ya vitabu mbalimbali vyenye kukupatia maarifa na ujuzi wa mambo anuwai. Karibu sana. Kwa kila tafakari kutakuwa na mawasiliano ya mwandishi wa makala ama tafakari husika ili kama ukitaka kuwasiliana naye basi ufanye hiyo.

Martin Mandalu
+255 767 864 379