Thursday, October 13, 2011

MUDA WA KUSAKA FIKRA ZAIDI


Mtaalamu wa burudani za mafunzo akiburudisha na kuelimisha wageni waalikwa siku ya hiyo ya ufunguzi wa mwaka wa masomo.

         MJ wa Mtwara hakukosa kwenye orodha ya waelimisha jamii wa siku                                      
   



                                                                                                                                                                
Burudani hii murua ilitufunza namna ya kupokea tofauti na vipaji vyetu na kuendelea kuishi kati jumuiya moja kwa upendo na mafanikio. Burudani nyingi zilitolewa na kundi hili maarufu la SAUT TRAVELLING GROUP (STG)




1 comment:

  1. Huyo msanii, nimemsikiliza na kugundua kuwa ni mtu mwenye kipaji cha juu sana, hongera dada!

    ReplyDelete