Monday, October 29, 2012
Mhadhara wa Katiba CHUONI STEMMUCO
Thursday, October 25, 2012
MCHWA NA MAENDELEO MTWARA
| Nguzo yenye kusambaza nishati ya umeme ikisaidiwa kazi hiyo na mti jirani |
Mchwa ni moja ya utajiri mkubwa wa Mtwara, wataalamu wa masuala ya viumbe hai tunawaomba wafanye tafiti zinazowalenga mchwa kuona ni namna gani Mtwara -Mikindani na taifa kwa ujumla linaweza kunufaika na viumbe hawa. Wapo karibu kila sehemu na hushamiri zaidi kipindi cha ukame, huvamia karibu kila kitu kikavu kilicho mbele yao.
| Sehemu ya nguzo iliyooza kwa karibu inavyoonekana |
| Hii nd'o nguzo iliyooza vibaya kwenye picha ndogo hapo juu |
Katika pitapita zangu nimekuta mji kati kabisa wakiwa wamekula nguzo zisambazazo nishati ya umeme na sikuona juhudi za maana zikichukuliwa kunusuru linaweza kuwa tishio la maisha mjini humo.
Subscribe to:
Comments (Atom)