Monday, October 29, 2012
Mhadhara wa Katiba CHUONI STEMMUCO
Thursday, October 25, 2012
MCHWA NA MAENDELEO MTWARA
Nguzo yenye kusambaza nishati ya umeme ikisaidiwa kazi hiyo na mti jirani |
Mchwa ni moja ya utajiri mkubwa wa Mtwara, wataalamu wa masuala ya viumbe hai tunawaomba wafanye tafiti zinazowalenga mchwa kuona ni namna gani Mtwara -Mikindani na taifa kwa ujumla linaweza kunufaika na viumbe hawa. Wapo karibu kila sehemu na hushamiri zaidi kipindi cha ukame, huvamia karibu kila kitu kikavu kilicho mbele yao.
Sehemu ya nguzo iliyooza kwa karibu inavyoonekana |
Hii nd'o nguzo iliyooza vibaya kwenye picha ndogo hapo juu |
Katika pitapita zangu nimekuta mji kati kabisa wakiwa wamekula nguzo zisambazazo nishati ya umeme na sikuona juhudi za maana zikichukuliwa kunusuru linaweza kuwa tishio la maisha mjini humo.
Subscribe to:
Posts (Atom)