Friday, October 28, 2011

Elimu kwa Maendeleo

Wanafunzi wa Stella Maris Mtwara University Collegge wakijisomea katika maktaba mpya ya chuo hicho.

Tuesday, October 18, 2011

WASANII WATOA ELIMU

Msanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhavile ‘Joti’ akisisitza jambo wakati akizungumzia Changamoto anazokumbana nazo kwenye Sanaa ya Vichekesho anayoifanya.


 
 
Picha na maelezo kwa hisani ya BASATA