Sunday, June 14, 2015

CHEOSOMO WA DAR ES SALAAM


Image by google
Somocheo /Cheosomo wa Dar es Salaam kwa Nigeria ni Lagos, kwa namna fulani, Mombasa kwa Kenya, na tena kwa namna moja ama nyingine Johannesburg kwa Afrika Kusini. Na bila shaka orodha inaweza kuendelea kuwa ndefu ama kubwa mithili ya mpira wa thelujini.

Lakini hapa inafaa pia kujiuliza, je, Dar es Salaam ina shika nafasi ipi tunapotazama masuala ya miumdo mbinu yenye kufanikisha maendeleo ya watu na kukuza uchumi? Barabara zipo vipi? Reli, usafiri wa anga, usafiri wa majini? Nishati ya umeme na kadhalika. Lakini pia kigezo cha amani na utulivu.

Kwa maoni yangu, kwa kutazama kwa makini na kwa takwimu zilizopo, Cheosomo wengi wa Dar es Salaam niliowaorodhesha wanaicha Dar es Salaam kwa mbali sana katika maeoneo mengi. Dar es Salaam, nadhani inatawaongoza cheosomo wake kwenye eneo la amani na kujaliana kuliko kwingine kote; hii ni kutokana na mtazamo jumla wa Tanzania kama nchi.

Hapa Chini ni Kenya
Sehemu ya Miundombinu Jijini Mombasa

Hapa chini ni Nigeria
Sehemu ya miundo mbinu Jijini Lagos 


Hapa chini ni Afrika Kusini

Picha zote kwa hisania ya mtandao wa google. Unaweza kuweka picha bora zaidi ya hizi, Zilizopo hapa zimetumika kufukisha ujumbe tu kwa wasomaji