Wednesday, June 30, 2010

Gazeti na uzalendo barani!!!

Gazeti hili la huko nchini Ghana hufanya uchambuzi wa mambo mengi kwa undani na hasa kwa mlengo wa kizalendo. hapa barani Afrika.

http://ghanaian-chronicle.com/

Saturday, June 12, 2010

Vijana na Ajira zenye Staha!

Katika kurasa zifuatazo tutajadili juu ya ajira zenye staha kwa vijana duniani kote. Tutaanza kufanya hivyo kuanzia na kazi za vijana wa Tanzania.