Showing posts with label Uvumbuzi. Show all posts
Showing posts with label Uvumbuzi. Show all posts

Thursday, October 4, 2018

THE POWER OF READING USEFUL BOOKS - KUSOMA VITABU VIFAAVYO HUONGEZA MAARIFA!


Ndugu msomaji wa blogu ya Wajenga Dunia,

Habari za siku nyingi? Bila shaka u mzima wa afya tele. Napenda kukukaribisha kwa mara nyingine katika ukurasa huu ili uendelee kujipatia maarifa yafaayo maishani.

Kuanzia sasa nakufahamisha kuwa tutakuwa tukifanya tafakari ya vitabu mbalimbali vyenye kukupatia maarifa na ujuzi wa mambo anuwai. Karibu sana. Kwa kila tafakari kutakuwa na mawasiliano ya mwandishi wa makala ama tafakari husika ili kama ukitaka kuwasiliana naye basi ufanye hiyo.

Martin Mandalu
+255 767 864 379

Sunday, November 5, 2017

SI MJAMAA, SI BEPARI JE, VIWANDANI TWAENDAJE?


Kila nchi huongozwa na falsafa fulani ili kufikia malengo iliyojiwekea. Tanzania ina dira ya miaka 25 kupitia maono yake ambapo nchi inajielekeza kwenye kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Ili kufikia uchumi huo wa kati Tanzania imejiwekea mikakati kadhaa; mmoja kati ya mingi iliyopo ni ule wa ushirikiano baina ya serikali na sekta binafsi. Mwongozo unasema sekta binafsi ndiyo hasa itachukua nafasi kubwa katika kujenga uchumi wa kati; hayo yanapatikana katika Tanzania Development Vision  (TDV) 2025. Naam ni jambo muhimu kwa serikali kushirikiana na sekta binafsi kwani inafaa kuweka nguvu kubwa zaidi ili wananchi wengi waingie katika kundi hili kuzalisha ajira nyingi zaidi.

Hata hivyo ukisoma katiba ya nchi yetu ya mwaka 1977, 3.-(1) inasema nchi yetu ni Jamhuri ya Muungano na ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa....,. Katiba katika nchi ndiyo hasa sheria kuu kuliko zote. Sasa basi kwa mantiki hiyo Tanzania ni nchi ya kijamaa! Je, kweli Tanzania kwa matendo yake, kwa jinsi inavyofanya mambo yake, kwa jinsi viongozi wake wanavyoishi na kutenda, ni nchi ya kijamaa kweli?

Swali hili na mengi mengine yanajadiliwa kwa undani ndani ya THE HIDDEN WEALTH OF TANZANIA. Kitabu kimeandikwa kwa lungha ya Kiingereza. Hata hivyo kimeandikwa kwa Kiingereza chepesi ambacho kijana aliyemaliza kidato cha nne atamudu kukielewa vyema kabisa. Kitabu kwa kiasi kikubwa kinawalenga wanavyuo, wakufunzi, wanataaluma na mtu yeyote anayependa kujua vyema mambo anuwai juu ya Tanzania. Kitabu hiki kinalenga hasa kuibua mijadala kutokana na hoja zilizomo ndani yake. 

Kwa sasa kitabu hiki kinapatikana katika maduka mbalimbali yaliyopo mitandaoni na pia katika mtandao wa Amazon. Hapo baadaye tutafanya utaratibu kuleta nakala hizo hapa nyumbani Tanzania.
http://www.amazon.com/dp/1978203284
http://www.amazon.co.uk/dp/1978203284
http://www.amazon.de/dp/1978203284
http://www.amazon.es/dp/1978203284
http://www.amazon.fr/dp/1978203284
http://www.amazon.it/dp/1978203284

Wednesday, August 24, 2016

INNOVATION IS THE MOTHER OF DEVELOPMENT: UVUMBUZI NI MAMA WA MAENDELEO TANZANIA TUPO WAPI?


Uvumbuzi huendana na ubunifu. Kila mvumbuzi ni mbunifu. Ripoti ya dunia inaonyesha kuwa nchi zenye uwezo mkubwa kutumia uvumbuzi ama kuuzalisha zinaendelea vyema zaidi kiuchumi kwa kuwa uvumbuzi ni kichocheo muhimu cha maendeleo.
Ripoti ya uvumbuzi duniani inaonyesha kuwa nchi za Afrika zipo mbali mno kwenye orodha hiyo, japokuwa Kenya, Rwanda, na Madagascar zimetajwa kama nchi zenye kuibukia kwenye uvumbuzi. Tanzania haitajwi katika kundi la nchi zinazoibukia katika kundi hilo na wakati huohuo tunataka kuingia uchumi wa kati. Kuingia uchumi wa kati inawezekana; hakuna jambo lolote lenyekufuata kanuni za kimantiki lisilowezekana hapa duniani. Hivyo Tanzania inaweza kuingia uchumi wa kati ifikapo 2025, hata hivyo ili jambo hilo liwezekane basi tunalazimika kufanya mambo mengi kuboresha mambo mengi yenye kuendesha uchumi wa nchi. 
Lazima tubadilishe mfumo wetu wa elimu ili elimu hiyo iwajengee watoto wetu uwezo mkubwa wa kufikiria, kutafakari mambo kwa kina na kutatua matatizo ya jamii. Elimu yetu iondokane kwenye kasumba tu ya cheti; tuwapime wahitimu wetu kwa uwezo wao kutatua matatizo ya jamii.

Tunalazimika kuboresha kwa kina hasa maisha na huduma mbalimbali za kijamii za watu wanaoishi vijijini; umasikini mkubwa Tanzania upo vijijini. Maisha vijijini hutegemea zaidi kilimo, kwahiyo basi tunalazimika kukiboresha kwa juhudi kubwa kilimo chetu. Kilimo kiongezewe thamani kwa kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya kusindika mazao hayo. 

Yanaweza kufanyika mengi haya ni kwa uchache tu. Tukiboresha elimu na kuweza kuchochea uwezo wa fikra za watu wetu hapo tutakuwa tumefanikiwa....

Soma sasa kwa Kiingereza ripoti ya uvumbuzi duniani: 

Switzerland has held onto its title as the world’s most innovative economy in the latest Global Innovation Index.
The 2016 index, produced by the World Intellectual Property Organization (WIPO), Cornell University and INSEAD, assesses the innovation performance of 128 global economies. This year is notable for China’s breakthrough into the top 25. It marks the first time a middle-income country has taken a place among highly-developed economies in the survey’s 9-year history.

The top 10



 These are the world's most innovative countries

Switzerland claims the top spot as the world’s most innovative economy – a position it has held for six years. The European nation scores highly on a range of indices, from government effectiveness to business sophistication, and creative goods and services.
Sweden climbs one place to take second, swapping places with the United Kingdom. It scored highly on infrastructure, human capital and research.
An all-European top 3 is completed by the United Kingdom. Like Sweden, it scored highly for infrastructure, as well as market sophistication and creative outputs.

The rise of China

For the first time since the index started, China takes a place in the top 25, rising from 29th last year.
The report attributes this to improved performance, as well as methodological changes in the index. However, the authors highlight the continuing “innovation divide” between the developed and developing world. The majority of innovative activity is concentrated in high-income economies and a few middle-income economies, including China, India and South Africa.

However, there is good news, with several African economies named “innovation achievers”. They include countries like Kenya, Madagascar and Rwanda, and were found to perform at least “10% higher than their peers for their level of GDP”.

The importance of innovation

Innovation remains a key driver of economic growth, as highlighted by both the Global Innovation Index and the World Economic Forum’s Global Competitiveness Report.
Innovation is one of the 12 pillars of competitiveness in the Forum’s report, and it looks set to play an ever more important role, says Margareta Drzeniek Hanouz, one of the economists behind the report.
“In the future, a country’s socio-economic progress will be increasingly determined by its ability to innovate and adapt quickly to new environments. Scientific and technological research and development, creativity, new business ideas and the ability to implement new business models will also increasingly determine a country’s success.”

https://www.weforum.org/agenda/2016/08/these-are-the-world-s-most-innovative-economies?
utm_content=buffer33cfc&utm_medium=social&utm_source=twitter.com&utm_campaign=buffer

Picha toka: https://tanzict.or.tz/

Monday, May 2, 2016

Les Sapeurs Congolais

De Caunes Sapeur
La société des ambianceurs et des personnes élégantes, ou SAPE, est une mode vestimentaire populaire née après les indépendances au Congo-Brazzaville pour ensuite se propager au Congo-Kinshasa chez les jeunes. Ce courant est dans la filiation du dandysme et ses adeptes, appelés les sapeurs s'habillent ainsi chez les grands couturiers, et pratiquent la sapologie.
......

Les dix commandements de la sapelogie

La philosophie de la sape s’accompagne de dix commandements fondamentaux, qui régissent leur comportement et résument leurs valeurs.
Premier commandement : Tu saperas sur terre avec les humains et au ciel avec ton Dieu créateur.
Deuxième commandement : Tu materas les ngayas (non connaisseurs), les nbéndés (ignorants), les tindongos (les parleurs sans but) sur terre, sous terre, en mer et dans les cieux.
Troisième commandement : Tu honoreras la sapelogie en tout lieu.
Quatrième commandement : Les voies de la sapelogie sont impénétrables à tout sapelogue ne connaissant pas la règle de trois, la trilogie des couleurs achevées et inachevées.
Cinquième commandement : Tu ne cèderas pas.
Sixième commandement : Tu adopteras une hygiène vestimentaire et corporelle très rigoureuse.
Septième commandement : Tu ne seras ni tribaliste, ni nationaliste, ni raciste, ni discriminatoire.
Huitième commandement : Tu ne seras pas violent, ni insolent.
Neuvième commandement : Tu obéiras aux préceptes de civilité des sapelogues et au respect des anciens.
Dixième commandement : De par ta prière et tes 10 commandements, toi sapelogue, tu coloniseras les peuples sapephobes.
https://fr.wikipedia.org/wiki/Soci%C3%A9t%C3%A9_des_ambianceurs_et_des_personnes_%C3%A9l%C3%A9gantes