Saturday, September 20, 2014

Baadhi ya Miamba Afrika



Mwanamuziki Mkongwe wa Kameruni
Emmanuel N'Djoke Dibango - maarufu zaidi  Manu Dibango (12 .12. 1933) ni mwanamuziki mkongwe wa Kameruni. Maarufu mno kwa vyombo vya kupuliza.

Mwanamuzi mashuhuri wa Kongo - Hayati Franco
Franco Luanzo Makiadi (6.6.1938 - 12.10.1989) alikuwa mwanamuziki mashuhuri mno nchi Kongo-Kinshasa, Afrika na duniani kwa ujumla.


Mwanamuziki Mashuhuri wa Nigeria Hayati Fela Kuti
Fela Anikulapo Kuti (15.10.1938 - 2.08.1997) Alikuwa mwanamuziki mashuhuri sana huko Nigeria. Aliweza kutumia vyombo anuwai vya muziki.

Mwanamuziki wa Zimbabwe Mashuhuri Oliver Mtukudzi
Oliver Mtukudzi (22.09.1952). Ni mmoja kati ya wanamuziki Maarufu nchini Zimbabwe na barani Afrika kwa ujumla.

Mwanamuziki wa zamani Tanzania Frank Humplick
Frank Humplick (03.04.1927- 25.08.2007) Mwanamuziki mTanzania ambaye hajulikani sana na kizazi cha wapenda muziki nchini Tanzania. Hapa historia yake inaelezewa na mtandao wa jamii forums


Mwanamuziki nguli wa Mali Salif Keita
Salif Keita (25.08.1949) Mwanamuziki mashuhuri kutoka Mali


Mwanamuziki wa Senegal
Youssou N'Dour (1.10.1959) ni mwanamuziki kutoka Senegali 

Mwanamuziki Maarufu nchini Tanzania hayati Marijani Rajabu
Marijabu Rajabu ( Kuzaliwa?  - kifo  23.03.1995) hapa anaelezewa vyema na mtandao wa  kwanzajamii

Mwanamuziki Mashuhuri nchini Tanzania hayati Mbaraka Mwaruka Mwinshehe
Mbaraka Mwaruka Mwinshehe (Kuz - Kifo  )