Saturday, December 10, 2011

Sala / Swala kabla na baada ya kazi


File:Flag of Tanzania.svgTanzania ni nchi isiyo na dini ila watanzania wana imani na dini zao. Tanzania, ni nchi na si binadamu, mtanzania ni binadamu na wala si nchi. Hivyo watanzania hawa kwa kuwa wanamwamini Mungu basi katika mambo muhimu na rasmi yanayohusu nchi, watanzania hawa huyaanza kwa kumuomba na kumshukuru Mungu. Huu ni wito tosha kwetu sote pamoja na viongozi wetu kusali kabla na baada ya shughuli zetu.Changamoto mpya kwa maendeleo ya nchi yetu - Hofu ya Mungu na upendo kwa Jirani ni muhimu hasa!




WIMBO WA TAIFA WA TANZANIA


Mungu ibariki Afrika                                                   God bless Africa


Wabariki Viongozi wake                                             Bless its leaders
Hekima Umoja na Amani                                            Wisdom, unity and peace
Hizi ni ngao zetu                                                         These are our shields

Afrika na watu wake.                                                  Africa and its people

Kiitikio:                                                              Chorus

Ibariki Afrika, Ibariki Afrika                                   Bless Africa, Bless Africa

Tubariki watoto wa Afrika.                                    Bless us, the children of Africa


Mungu ibariki Tanzania                                           God bless Tanzania
Dumisha uhuru na Umoja                                        Grant eternal freedom and unity
Wake kwa Waume na Watoto                                To its women, men and children
Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.                     God bless Tanzania and its people


Kiitikio:                                                               Chorus:
Ibariki Tanzania, Ibariki Tanzania                              Bless Tanzania, Bless Tanzania
Tubariki watoto wa Tanzania.                                   Bless us, the children of Tanzania












No comments:

Post a Comment